Quotes.gd
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Utii Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • God Quotes
    • Truth Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Amri ya Kristo ilipima imani ya yule kipofu, ikiithibitisha na kuiimarisha. Bila kuchelewa au kusita, kipofu alitii amri ya Mungu: Alikwenda kuosha macho yake katika bwawa la Siloamu na aliona. Wengi wanaweza kuona ni kazi ya kipuuzi kwa mtu ambaye ni kipofu kufanya kazi ndogo kama hiyo ili aone. Lakini kwa vile alitii, kipofu alipona. Baraka huja kupitia utii. Kwa maana nyingine, kipofu alimtii Yesu bila kuona. Lakini matokeo yake, alipata kuona papohapo; ambapo baadaye, hatimaye, alipokea uponyaji halisi wa kiroho.
Enock Maregesi

Related Topics

Bwawa La Siloamu
Quotes
Divine Decree
Quotes
Blind
Quotes
The Command Of Christ
Quotes
Imani
Quotes
Kipofu
Quotes
Amri Ya Mungu
Quotes
Faith
Quotes

Quotes.gd

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • LeBron James
  • Justin Bieber
  • Bob Marley
  • Ed Sheeran
  • Rohit Sharma
  • Mark Williams
  • Black Sabbath
  • Gisele Bundchen
  • Ozzy Osbourne
  • Rise Against
Quotes.gd
  • Follow us on Facebook Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube Follow us on Youtube
  • Follow us on X Follow us on X

@2024 Quotes.gd. All rights reserved